Rest In Peace
Tuesday, June 11, 2013
Mtanzania mwingine afia Afrika Kusini.
Katibu
Mkuu wa Zamani Ofisi ya Rais Ikulu, Mzee Timothy Apiyo (pichani chini), amefariki
dunia katika hospitali ya Milpark nchini Afrika Kusini alikokuwa amelazwa. Marehemu
Mzee Apiyo alikuwa Katibu Mkuu wa Ikulu kwa Kipindi kirefu mpaka alipostaafu na
kuhamia Kinyerezi jijini Dar es Salaam. Anatajwa kuwa ni mmoja wa viongozi waandamizi
waliokuwa hawana masihara kazini, kiasi hata viongozi serikalini walikuwa
wakimheshimu sana.
Rest In Peace
Rest In Peace
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
R.I.P Mzee Timothy Apiyo
ReplyDeletealikuwa mzee muhimu sana katika utendej wa kazi zake..R.I.P
DeleteRIP Apiyo we will miss you
ReplyDeletejoan
Alazwe pema pepon mzee we2
ReplyDeleteMungu amlaze mahala pema peponi
ReplyDeletePumzika kwa amani
ReplyDelete