Swahili Abroad ni nin?
Ni blog
kuhusu watanzania waishio nje ya Tanzania. Wanaafrika Mashariki
wanaozungumza lugha ya Kiswahili walio ughaibuni, wanahusika pia. Hapa
utapata makala zinazozungumzia maisha yao halisi, burudani, michezo, harakati
za kimaisha, masomo, kazi, ubunifu, urembo pamoja na mengine mengi
yanayowazunguka. Yeyote anayefanya mazuri kuhusu lugha hii, utamkuta hapa.
Lengo kuu ni kuwafanya Wanaafrika Mashariki waliobaki nyumbani kujifunza
kutoka kwa walio ughaibuni yale yanayostahili kuwaletea maendeleo. Kwa lugha
nyepesi tunaweza kusema, "hii ndio nyumba ya Kiswahili Ulimwenguni!"
Subscribe to:
Posts (Atom)
Hongera sana Kasyome,ila ningependa kama makala na habari zako uziandalia hata kipindi cha radio, uwe hata unatuwekea online au hata kwenye station yoyote inayosikika East Africa! Makala na habari hizi zina mvuto sana hasa kwa vijana wanaotafuta mafanikio, wanaweza kujifunza kutoka kwa ndugu au marafiki walioko nje.
ReplyDeleteSina mengi ila kutoa hongera zangu nyingi kwa kuanzisha blog hii.
Mdau, Bombay, India.
Asante sana mdau.
DeleteNimeupokea ushauri wako.
N'nakuomba uendelee kuipitia blog hii mara kwa mara ili uendelee kuapata zaidi ya ulichokipata leo!
Asante sana.
iddi .h. wabusa nasema ndugu umenena kweli watanzania tupende lugha yetu atakama tupo nnje.
ReplyDelete