Waziri mkuu, Mheshimiwa Peter Mizengo Pinda akipata maelekezo.
Saturday, June 8, 2013
Waziri Mkuu, Tanzania, Atembelea Sacoma, London.
Umoja huo wa Sacoma wenye lengo la kuwakomboa
wakulima wadogo wadogo wa Africa ya Mashariki ulimkaribisha Waziri Mkuu, Mheshimiwa Peter Mizengo Pinda, alipofanya
ziara kwenye Soko la Spitafields, lililopo Stratford nchini Uingereza, kwa
lengo la kujionea shughuli za Jumuiya ya Sacoma inayoendesha shughuli zake katika
soko hilo na jinsi ambavyo jumuiya hiyo imeweza kuwasaidia wakulima wa mboga na matunda
nchini Kenya, kupata soko la kuuza bidhaa zao Uingereza.Waziri Mkuu huyo wa Tanzania baadaye alipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Sacoma group, Bwana. Sam Ochieng, namna ambavyo bidhaa za Matunda na Mboga mboga kutoka nchini Kenya zinavyopakiwa, kusafirishwa na hatimaye kuuzwa kwenye soko la Spitfield nchini Uingereza, kwa kupitia Jumuiya ya Sacoma.
Waziri mkuu, Mheshimiwa Peter Mizengo Pinda akipata maelekezo.
Waziri mkuu, Mheshimiwa Peter Mizengo Pinda akipata maelekezo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Ya haitakiw kudharau kaz hata mboga mboga pia znalpa
ReplyDeletetena hao wenzetu wako mbali sana hao da sarah
DeleteCan we Tanzanians vegetable growerz benefit from that Sacoma group as well?
ReplyDeleteof course, nahdhan tusubiri majibu ya Waziri tuone!@Henry
DeleteCan we Tanzanians vegetable growerz benefit from that Sacoma group as well?
ReplyDeleteBasi tuwe makini kufuatilia majibu ya W/Mkuu
ReplyDeleteBila shaka, huenda atakaporudi nchini atakuwa na majibu mazuri sana juu ya safari yake hii
DeleteSafari kama hizo alihitajika kuandamana na mabwana shamba wetu kwa wingi, natumai walikuwepo,....ni vyema, tusubiri akija atatumegea ya huko!
ReplyDelete