Naomba
kutoa taarifa kuwa email yangu ya moreinfoz@yahoo.com
ambayo pia imeunganishwa na justinkasyome@yahoo.com
zimeibwa maana naweka password naambiwa mimi sio mtumiaji!
Naomba
waeleze wengine pia ili wakipokea ujumbe wowote unaotatanisha kutoka kwa email
hizo, wazipuuzie wakati ambao najaribu kutafuta ufumbuzi. Kwa mwenye msaada wa
namna ya kutatua tatizo hili pia asisite kunijulisha kupitia hapa hapa.Asante.
No comments:
Post a Comment