Katika pita pita zangu jioni ya leo nimekutana na habari ambayo kama ningeipata mapema, kwako kijana wa Tanzania pengine ingekufaa zaidi! Sikiliza, shirika la Utangazaji la Sauti ya Amerika Idhaa ya
Kiswahili (VOA) likishirikiana na USAID limeandaa mkutano mkubwa wa Vijana
utakaofanyika kesho mjini Dodoma kuhusu maamuzi bora ya kiafya na kijamii
katika kipindi kiitwacho Je Nifanyeje?. Unaweza kuisoma zaidi kwa kugonga hapa kwa Sunday Shomary nilipoitoa,
Vijana, ...mpo, haya !
ReplyDelete