Balozi Kamala ahutubia mkutano wa uwekezaji Ubelgiji
Balozi wa
Tanzania BENELUX na jumuiya ya Ulaya, Dr.Deodorus Buberwa Kamala akiwasilisha
mada kuhusu fursa za uwekezaji Tanzania kwa wanachama wa Taasisi ya uwwkezaji
ya Ubelgiji (FIT). Mkutano huo umeandaliwa na ubalozi wa Tanzania na Kenya.
Twashukuru kwa kuanzisha blog hii ambayo natumai itaitangaza ncho yetu na lugha yetu ambayo ni muhimu sana kwetu, hii ndiyo inayotuunganisha sote, na nembo ya taifa,...TWASHUKURU SANA NA TUPO PAMOJA
Ni fursa njema kwa wawekezaji wa vitega uchumi kutumia fursa njema zilizoandaliwa kwa ajili yao nchini Tanzania.Changamoto yetu hapa Tanzania bado ni uwekezaji kwa ajili ya mauzo ya nje ili kuongeza kiwango cha mapato ya fedha za kigeni.
Twashukuru kwa kuanzisha blog hii ambayo natumai itaitangaza ncho yetu na lugha yetu ambayo ni muhimu sana kwetu, hii ndiyo inayotuunganisha sote, na nembo ya taifa,...TWASHUKURU SANA NA TUPO PAMOJA
ReplyDeleteasante sana, na twakukaribisha na maoni yako ni muhimu sana!
ReplyDeleteNi fursa njema kwa wawekezaji wa vitega uchumi kutumia fursa njema zilizoandaliwa kwa ajili yao nchini Tanzania.Changamoto yetu hapa Tanzania bado ni uwekezaji kwa ajili ya mauzo ya nje ili kuongeza kiwango cha mapato ya fedha za kigeni.
ReplyDelete